ADS

tangazo kwa wasanii wanaopenda kutoka kimziki, usambaze mziki wako kwenye blog mbalimbali nchini ili uweze toka kimziki, je unataka kuutangaza mziki wako zaid ya nchi kumi kwa kuuweka kwenye blog mbalimbali kubwa TANZANIA wasiliana nasi wathsap 0768649181 au 0656475442
POST
Home
Archives for 2017
Tuesday, 11 July 2017
Sunday, 9 July 2017
JOIN TO MY WHATSAPP GROUP READ THE INSTRUCTION
Diterbitkan July 09, 2017
Tags
kujiunga kwenye group langu fatwa sheria zifuatazo
1: make sure you have intrest in fassion
uwe unapenda mambo ya fassion
2:dont send porno or xxxvideo and photo
usitume video za ngono na picha
3:share something that is good in the group which make development
share vitu vizuri kwenye group vinavyoleta maendelao
4:dont use abuse languege to others
usitumie lugha mbaya kwa wengine
5:only english and swahili is languege of the group
kingreza na kiswahili ndo lugha pekee kwenye group
6:give me advice to develop my talent of fassion
toa ushauli kuhusu kuendeleza kipaji changu cha uwnamitindo
click the link bellow to join
bonyeza link chini kujiunga
https://chat.whatsapp.com/1UcybFheuE09z8QffsXiAw
Saturday, 8 July 2017
Women with wide hips 'more likely to have one night stand'
Diterbitkan July 08, 2017
Tags
They have long been known as ‘child-bearing hips'. Now, a new study has revealed that women with wide hips are more likely to have one-night stands and more sexual partners in general.
The study, carried out by scientists at Leeds University, found the shape of a woman's body may play an important role in a woman's decision to have sex because women with wider hips do, in fact, find childbirth less traumatic.
Women with smaller hips therefore tend exhibit more cautious sexual behaviour as a result, the study suggests.
Dr Colin A Hendrie, Associate Professor of Human and Animal Ethology at Leeds University was the lead author of a study into how a woman's build influences her sexual behaviour, published in Springer's journal Archives of Sexual Behavior.
The researchers defined wide hips as those wider than 14.2 inches (36 centimetres) and small hips as those under 12.2 inches (31 centimetres wide).
This is measured by the distance between the upper outer edges of the iliac crest bones of the pelvis.
The 148 women in the study - aged between 18 and 26 - also had their hip circumference at the widest point measured and their waist circumference at its narrowest point.
All the women in the study had at least one sexual partner previously. They also completed a questionnaire about their sexual histories, including the age at which they lost their virginity, the number of sexual partners they'd had, and information about emotionally significant sexual relationships they had had.
The researchers found women who were more inclined to have one-night stands had wider hips.
More specifically, the women for whom one-night stands accounted for three out of every four of their sexual relationships had hips at least 0.8inches (2cm) wider than those who had fewer one-night stands.
The researchers suggest that women with wider hips have more sexual partners because the birth process is generally easier and less traumatic (than for smaller-hipped women)
Dr Hendrie said: "Women's hip width has a direct impact on their risk of potentially fatal childbirth-related injury. It seems that when women have control over their own sexual activity this risk is reflected in their behaviour.
"Women's sexual activity is therefore at least in part influenced by hip width."
He explained the study findings relate back to how humans learned to walk upright and the subsequent development of narrower hips to make it easier to walk.
In the process, female hips have become just wide enough to allow childbirth. Infants are born at a less developed stage than most other primates because of this restriction, and therefore need much more care and investment after birth from their mothers and father, they say.
"We found that women with smaller hips tended to have, throughout their entire sexual histories, just a couple of sexual partners. They really only had sex with people in the context of relationships, demonstrating a more cautious sexual strategy. If they got pregnant there would be someone in their life to help them.
"Women with large hips also had a couple of relationships over that same time frame but also had a lot more one night stands. These young women would be having seven or eight one night stands over the entire time," he said.
The team found the average age of virginity being lost was 16 and there were extremes at either end, with some women admitting to a couple of hundred sexual partners.
"The other important thing is that this study is not reflecting what men find attractive, it is about women being in charge of their own destinies, where they can control their own sexual behaviour," Dr Hendrie said.
NGUVU Kuu 7 Alizonazo Mwanamke Hizi Hapa...Wengi Hawajui Kuhusu Nguvu Hizi......
Diterbitkan July 08, 2017
Tags

Nguvu kuu 7 alizonazo mwanamke
1. Uwezo wa kuona na kugundua ya mbeleni (anawezakuona kisichosemwa au
kitakachokuja). Anatumia mlango wa sita wa fahamu unaoitwa
EPS
2. Ananguvu ktk kinywa chake kuliko nguvu za mwili kwa mwanaume. Athari za kutotumia kinywa chake vema ni kubwa zaidi.
3. Nguvu na uwezo wa kuendeleza uumbaji
4. Nguvu ya ushawishi
5. Nguvu na uwezo wa kustahimili. Kuvumilia. Kubeba mazito.
6. Nguvu na uwezo wa kujadili bei (bargaining power)
7. Uwezo wa kuwaathiri watoto (positively or negatively)
Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu
Diterbitkan July 08, 2017
Tags

Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,kupendelea sana kuangalia picha za uchi,Kusahausahau,Kupendelea story za mapenzi,Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),Kuumwa na kichwa,Kukakamaa mgongo (wanaume),Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala
Friday, 7 July 2017
Mabinti Siri Ishafichuka Wanaume Hupenda Wanawake Wenye Tabia Hizi
Diterbitkan July 07, 2017
Tags
Wanawake wengi wanajisahau na kudhani kwamba kitu kinachoweza kuwafanya wakapata wachumba ni uzuri hivyo kupoteza muda wao kujichubua na kujiremba ili wawavutie wanaume bila kujua kwamba kuolewa ni zaidi ya uzuri.
Hali sasa hivi imebadilika ni tofauti na kipindi cha nyuma ambapo ukiwa na sura nzuri na umbo la kuvutia basi una asilimia 100 za kuolewa. Utafiti ambao nimeufanya unaonesha kwamba zaidi ya uzuri wa tabia na umbo, kuna kuna sifa nyingine za msingi ambazo mwanamke anatakiwa kuwa nazo ili aweze kuwa katika mazingira mazuri ya kupata mchumba wa kumuoa kiasi kwamba asipokuwa nazo ataishia kuchezewa tu lakini haitatokea mtu kumtakiwa kwamba anataka kumuoa.
MWEYE MAPENZI YA KWELI
Lengo kubwa la mwanaume kuoa ni kutaka kupata mapenzi ya kweli kutoka kwa mwanamke na ikiwezekana waweze kupata watotoa ambapo watoto mara ndio wamekuwa furaha ya ndoa. Wapo wanawake wengine ambao wanonesha wazi kutokuwa na mapenzi ya kweli bali wanakuwa na mapenzi ya kuzuga. Wanachotaka wao aidha kupata umaarufu tu kwamba yuko na mtu fulani ama kuweza kupata pesa alizonazo mwanaume lakini sio kwamba ana mapenzi ya dhati kutoka moyoni mwake. Mwanamke asiye na mapenzi ya dhati utamgundua tu, muda mwingi utamuona macho yake yako kwenye mfuko wa mwanaume. Akiona kwamba mfuko umetuna utaona anaonesha mapenzi ya hali ya juu lakini pindi hali inapokuwa kubwa mbaya kifedha mapenzi yanaanza kufifia.
Kwanini wanaume wanapenda wana wake wenye mapenzi ya dhati kutoka mioyoni mwao na si kutokana na fedha walizonazo? Hii inatokana na ukweli kwamba maisha siku zote yanabadilika, kama waswahili wanavyosema, kuna kupanda na kushuka.Sio kwamba kila siku utakuwa na maisha mazuri na kama itatokea hivyo basi ushukuru mungu.Hivyo basi mwanamke wa kuoa lazima afahamu hivyo na awe tayari kuonesha mapenzi yake ya dhati wakati wote wa maisha yao na si kwa kipindi fulani tu cha neema.
Si hivyo tu pia asilimia kubwa ya maisha ya ndoa yanatawaliwa na mapenzi, kwa hiyo nyanja hiyo inakuwa ya msingi sana kwa wanaume wengi kuiangalia ili wasije wakajikuta wanaoa mwanamke ambaye baada ya muda mapenzi yanakwenda likizo hali ambayo inaweza kuwafanya wasiishi maisha ya raha mustarehe.
WENYE TABIA NZURI
Tabia njema ndio silaha ya maisha, ukiwa na tabia nzuri kila mtu atakupenda, hiyo ni katika maisha ya kawaida. Lakini linapokuja suala na kuoa tabia inakuwa kitu cha awali sana kungaliwa na hiyo inaweza kuwa na ukweli kwa sababu wapo wasichana wazuri wenye mvuto wa aina yake na maumbile mazuri, lakini wanakosa wanaume wa kuwaoa, ukiuliza kwani utaambiwa anatabia mbaya. Naweza kusema hilo ndilo limekuwa tatizo kubwa kwa baadhi ya wanawake kukosa wanaume wa kuwaona. Hakuna mwanaume hata mmoja kati ya wale ambao nimejaribu kuongea naye ambaye ameonesha kulidharau suala hilo la tabia.
Si hivyo tu wapo wanaume ambao wameingia kichwa kichwa na kuoa kwa kuangalia sura tu bila kujali tabia, matokeo yake baada ya siku chache yanatokea machafuko ya aina yake hali ambayo imepelekea kuvunjika kwa ndoa kutokana na tabia mbaya alizonazo mwanamke.
WENYE UCHU NA MAENDELEO
Hivi karibuni kumekuwepo na mabadiliko ya aina yake kwa wanaume, wengi sasa hivi hawapendi kabisa kuoa mwanamke ambaye hana kazi yaani 'golikipa'. Kama atakuwa hana kazi basi awe na uchu wa maendeleo kwa kujituma kufanya kazi mbalimbali za kimaendeleo kama vile kilimo kwa wale walio vijijini na biashara ndogondogo kwa wale ambao wako mijijini na hata vijijini. Ile dhana ya kusema mwanamke ni mama wa nyumbani wa kukaa na kujipodoa akimsubiria mwnaume arudi amstarehesha, sasa hivi imepitwa na wakati. Wanaume wengi wanapenda wanawake ambao ni wahangaikaji, wenye ndoto za maendeleo katika maisha yao. Hata kama watakuwa si wafanyakazi lakini wawe wenye kutoa ushauri kwa waume zao juu ya jinsi gani wafanye ili wafanikiwe.
WASIOPENDA MAKUU
Kuna wanawake wengine wanakuwa na tabia za ajabu sana kiasi kwamba yaweza kuwa kero kwa wanaume. Wapo wanawake ambao wanapenda makuu bila kujali hali halisi ilivyo. Kuna wanawake naweza kusema wana tamaa, kila wikiendi utamsikia "leo tunakwenda wapi dear?" Akimuona rafiki yake kanunua simu ya laki tatu na yeye utamsikia akisema, ‘na mimi naomba uninunulie simu kama ya Grace’. Ukienda naye Pub anakuambia, "mimi sinywi pombe za chupa natumia za kopo tena Heineken’. Yeye hajali kiasi cha pesa mwanaume alicho nacho na usipotekelezea anachukia na anaweza hata kupunguza mapenzi.
Wanawake kama hawa wako katika mazingira magumu sana ya kuweza kupata wanaume wa kuwaoa. Mara nyingi katika maisha fedha huzungumza, kama mwanaume atakuwa na pesa ya kutosha itakuwa rahisi sana kwa mwanamke kupata kila atakachopenda lakini si kwa kumwambia mimi nataka kitu fulani.Mwanaune mwenyewe utamsikia akisema, ‘unataka nikununulie simu ya aina gani, au leo unataka twende wapi?’ hapo ndipo utakuwa na nafasi ya kusema, ‘mimi nataka uninunulie simu kama ya fulani ama leo nataka twende sehemu fulani.’
Wanaume ni warahisi sana wa kuwapatia wale ambao wanatarajia kuwaoa chochote ambacho watahitaji kama tu pesa haitakuwa tatizo. Kitu ambacho kinawaudhi wanaume wengi ni ile tabia ya mwanamke kupenda mambo makubwa bila kuangalia uwezo uliopo kwa mwanume.
Kuna wanawake wengine wao si wasemaji kabisa, yeye anasubiri leo amemletea hiki, anapokea na kushukuru, kesho akiambiwa twende beach anakubali. Au wengine wanasubiri mpaka waulizwe wanataka nini, ndio wanasema.
Sisemi kwamba uwe mkimya tu hata kama una shida ya kitu fulani na unafahamu kwamba ukimweleza mwenza wako anaweza kukusaidia, hapana! kama unaona kwamba uwezekano wa kupata kile ambacho unakihitaji upo mweleze kwa utaratibu naamini atakuelewa na kukutimizia.Tabia ambayo hawaipendi wanaume wengi ni ile ya kulazimisha ufanyiwe kitu fulani wakati inawezekana uwezekano haupo.
WAVUMILIVU
Wapo wanawake ambao sio wavumilivu kabisa katika maisha.Tunajua kwamba maisha siku zote hayatabiriki, yanaweza kutokea matatizo ya kiafya ama kifedha.Huu ndio wakati wa kuona uvumilivu wa mtu.Kama mwanamke anatarajia kwamba siku zote ni
Uvumilivu kwa mwanamke utakuwepo kama tu atakuwa na mapenzi ya dhati kama nilivyozungumza hapo awali. Mwanamke mweye mapenzi ya dhati ni lazima atakuwa mvumilivu na atakuwa tayari kuishi katika maisha ya aina yoyote, yawe ya raha ama ya starehe.Hawa ndio wale ambao wanaume wengi wengependa kuwa nao maishani mwao.
Licha ya kupenda kuoa wanawake amabo wana tabia hizo nilizozitaja hapo juu, wanachukizwa sana na wanawake ambao wanavijitabia vidogo vidogo ambavyo kimsingi havikubaliki katka jamii.Tabia hizo ni kama wambea, wasio wakweli na wawazi, wasioridhika, wagumu kusamehe na wapesi wa kuchukia, wagomvi na wenye roho ya kwanini.
Utafiti huu umefanyikwa kwa baadhi ya wanaume ambao wanatarajia kuoa wanawake ambao wanaoishi katika maeneo mbalimbali jijini Dar-es-Salaam. Kwa maana hiyo basi hiyo iwe changamoto kwa wanawake. Wajue kwamba wanaume wanafurahi kuwa na wanawake wa aina gani. Hata kama utakuwa umeshaolewa, kama kuna wakati kunakuwa na kutokuelewana baina yenu, chunguza yawezekana kwamba unakosa mojawapo ya tabia ambazo nimezitaja hapo juu. Waweza kubadilika kwani inawezekana
Subscribe to:
Posts (Atom)