ADS

 
tangazo kwa wasanii wanaopenda kutoka kimziki, usambaze mziki wako kwenye blog mbalimbali nchini ili uweze toka kimziki, je unataka kuutangaza mziki wako zaid ya nchi kumi kwa kuuweka kwenye blog mbalimbali kubwa TANZANIA wasiliana nasi wathsap 0768649181 au 0656475442

POST

Saturday, 8 July 2017

Madhara ya Kutofanya Tendo la Ndoa Muda Mrefu

Tags

Habari zenu, nimeona niwaletee hili nina imani mtajifunza hasa kwa wale wasiofahamu,Ukikaa Muda Mrefu bila Kufanya tendo la Ndoa madhara yake ni kama haya:

Hasira za mara kwa mara katika mambo madogo,kupendelea sana kuangalia picha za uchi,Kusahausahau,Kupendelea story za mapenzi,Kutokwa damu nyingi wakati wa hedhi (Mke),Kupenda kurukiarukia mambo ya watu wengine (tabia ya kufuatilia mambo yasiyokuhusu),Kuumwa na kichwa,Kukakamaa mgongo (wanaume),Kuingiliwa kirahisi na jini mahaba,Kupoteza umakini ktk kazi (efficiency),Siku ukikutana kimwili na mwenye virusi bila kinga utaambukizwa kirahisi mno,Waweza ku-develop tabia mpya ambayo hukuwahi kuwa nayo ili iwe mbadala


EmoticonEmoticon

GOOD APP TO DOWNLOAD

GOOD APP TO DOWNLOAD
download this app

mambo iko huku

mambo iko huku
tazama videos hapa/watch video here

mambo iko huku

mambo iko huku
nipate hapa/get me here
Millionaire  Ads